RC Makonda Kumuweka Rumande Harmonize Akikutwa Anatumia Bangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda amesema ameongea na Gavana wa Ghana kumchunguza msanii, Harmonize ambaye yupo nchini humo kama anatumia bangi ili kama ni kweli akirudi amuweke rumande.

Hatua hiyo imekuja baada ya Harmonize ambaye yupo nchini Ghana, kuposti picha kwenye mtandao wa Instagram ikimuonyesha akivuta kitu kinachotoa moshi.

"Nimemuona mtu mmoja yuko Ghana kule ule moshi unavyotoka ni kama wa Bangi na tayari nimeshaongea na rafiki angu Gavana wa Ghana pale wanisaidie kumfuatilia Harmonize anatumia Bangi au sigara na kama anatumia bangi akitua hapa ni Lock Up moja kwa moja namna unavyojithaminisha ndivyo serikali itakavyo kuthamini," alisema Makonda.

Makonda ameyasema hayo leo Alhamisi Januari 31,2019  wakati akizungumza na wasanii katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad