AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mlipuko huo ulitokea baada ya bomba hilo kuharibiwa na watu wanaoaminika kuwa ni wezi wa mafuta katika mji wa Tlahuelilpan.
Wengi waliofariki walikua waking'angania kuchota mafuta kabla ya moto kuzuka. Hata hivyo Shirika la mafuta la Pemex limesema moto huo ulitokana na mabomba yaliyowekwa kwa njia ambayo ipo nje ya utaratibu unaotambulika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK