AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwinyi Zahera ametangaza kuwapandisha mpaka kikosi A wachezaji Shaibu Ramadhan na Gustavo Simon baada ya kuonesha kiwango kizuri Mapinduzi.
Kocha huyo alieleza kuvutiwa na uwezo walioonesha kwenye michuano hiyo licha ya kuwa hakusafiri na timu na badala yake alikuwa akitazama mechi kupitia Azam TV.
Wakati huo kikosi cha Yanga leo kimesafiri kuelekea Shinyanga ambapo kitakuwa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui FC utakaopigwa CCM Kambarage Stadium
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK