Anasa Uwanja wa ndege kwa miezi mitatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Raia mmoja wa Niger ambaye amefurushwa nchini Israeli amenasa uwanja wa ndege nchini Ethiopia toka mwezi Novemba mwaka jana.

Eissa Muhammad, 24, amenasa kwenye kiwanja hicho jijini Addis Ababa baada ya nchi yake kugoma kumpokea.

"Nimekuwa nikikaa hapa (uwanja wa ndege) katika mazingira magumu, hakuna kitu, hakuna kitu kabisa..." Muhamad ameiambia BBC.

Mikasa ilianza kumuandama Muhamad mwezi Aprili mwaka jana baada ya kunaswa akiishi Israeli bila ya kibali, Kijana huyo alihamia Israeli kutoka Niger mwaka 2011, akiwa na miaka 16 ili kutafuta maisha bora.

Anasema aliwalipa wasafirishaji wa binaadamu ili kumpitisha nchini Libya na Misri kabla ya kuingia Israeli kwa miguu, Alipofika jijini Tel Aviv, Tel Aviv, Muhamad aliishi kwa kutegemea kazi duni kwenye majumba ya kuishi wanafunzi na kiwanda cha kuzalisha pipi.

Baada ya kushikiliwa kizuizini kwa zaidi ya miezi sita, Israeli ilimpatia hati ya dharura ya kusafiri na kumpakia kwenye ndege ya Shirika la Ethiopia kuelekea Niger kupitia Addis Ababa mwezi Novemba.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad