AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa zamani wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger ameweka wazi kwamba alikataa nafasi ya kuifundisha klabu ya Real Madrid zaidi ya mara moja wakati akiwa anaifundisha Arsenal.
Wenger aliachana na Arsenal mwaka jana baada ya ya kuwa kwenye klabu hiyo kwa miaka 22 ambapo aliweza kushinda mataji ya ligi kuu ya Uingereza mara tatu na kombe la FA mara saba.
Kocha huyo amesisistiza kuwa mipango ya kuifundisha Real Madrid haipo kwenye mipango yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK