"Mama Aomba Nyimbo za Mwanae Zipigwe Msibani" Godzilla

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mama wa marehemu Godzilla ameomba nyimbo za mwanae zipigwe katika msiba huu na kuacha kuweka nyimbo zingine ambazo zingemtia machungu zaidi ya kumkumbuka mtoto wake .

Mama huyo ambae amekuwa mwenye uchungu sana kwa muda wote na kuongea maneno yenye huzuni na huruma kubwa kwa kutokuamini kuondoka kwa mtoto wake anasema kuwa anajua kuwa kuna baaadhi ya nyimbo za mtoto wake  zina maadhi ya dini hivyo anaomba nyimbo hizo zipigwe katika msiba.

Mama anasema kuwa kuna nyimbo ambazo zilikuwa ziko studio bado lakini zilikuwa zinakaribia kutoka kwa sabab tayari mtoto wake alikuwa amesikiliza hivyo anaomaba kuzisikia tena.

Akiongea na waandishi, moja ya watu wa karibu wa God , anasema kuwa mama alikuwa akimwambia alikuwa akipelekwa studio na mwanae na alikuwa akimsikiliza baadhi ya nyimbo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad