Batuli Amjibu Mange Baada ya Kumuombea Msamaha Baba Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa bongo movies Batuli amefunguka na kumjibu Mange Kimambi kuwa pamoja na kwamba wao wamekuwa wakiumia na taarifa za kuumwa kwa baba mzazi wa Diamond Platinumz haimanishi kuwa hata huyo diamond hajui habari za baba yae lakini swala linakuja kuwa kuna watu wangapi ambao wamtelekeza wazazi wao lakini hawajawashikia mabango na kuwakumbusha wajibu wao.

Batuli anasema kuwa mange angeachana na habari hizo kwa sababu kuna watu kibao mitaani kwahiyo wasimuonee Diamond kwa sababu ni mwanamuziki na ndio maana wameweza kumuandama na swala hilo.

katika ukurasa wake wa instagram, batuli an;liandika hivi “


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad