Wema Sepetu Akanusha Vikali Kukatwa Utumbo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanadada Wema sepetu amefunguka na kukanusha taarifa zinazosambaa siku nyingi katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa alikwenda nje ya nchi kwa ajili ya kuata utmbo ili kupunguza unene na uzito.

Hata hivyo maneno hayo yanakuja baada ya mwana dada wema sepetu kuoneana alipungua mwili kila siku kiasi kwamba mashabiki zae wamekuwa wakipata wasiwasi na afya yamsanii wao.

Wema anasema kuwa kitu kikubwa kilichomfanya kwenda nje ni kwa ajili ya kuangaika swala lake la kupata mtoto na hata alipoenda huku aliambiwa kuwa anatakiwa kupunguza mafuta ili aweze kupata  mtoto kwa sababu mara nyingi hata mafuta usababisha kukosa kupata mimba.

Wema anasema kuwa kinachomfanya akonde kila siku ni stress za hapa na pale lakini pia amekuwa akinywa dawa ambazo zinamsaidia kupunguza uzito  na kupunguza mafuta pia.

Utumbo wangu mimi sijawahi kukataam wala kupunguza, nilivyosafiri na kwenda India, nilienda kwa sababu ya tumbo langu lakini niliambiwa kuwa mara nyingi kukosa mtoto husababishwa na Mafuta.Hivyo nilipewa vidonge kwa ajili ya kupunguza mwili na mafuta.

Share
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad