Chuchu Hans: Mimi na Ray Imebaki Story you Nisihusishwe Naye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chuchu Hans:  Mimi na Ray Imebaki Story you Nisihusishwe Naye
STAA wa filamu za Ki­bongo, Chuchu Hans am­baye ni mzazi mwenziye na muigizaji wa kiume Vincent Kigosi ‘Ray’ amedai kuwa yeye na mzazi mwenzake Frank Mtao imebaki stori tu hivyo watu wasimhusishe naye.



Akizungumza na Ijumaa Wik­ienda, Chuchu alisema anachojua Frank ni mzazi mwenziye na walishamalizana muda mrefu kili­chobaki kati yake na yeye ni mtoto na si kitu kingine.



“Unajua nashangaa hata hayo madai ya Frank na mimi yameibu­kia wapi kwa sababu yule mtu ana familia yake na mimi nina maisha yangu mengine kabisa, sijui kwa nini watu wanapenda kuingilia familia za watu, yule na mimi imebaki stori na ni kwa sababu ya mtoto,” alisema Chuchu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad