Diamond alitusaidia kuibadili kauli mbiu wakati wa kampeni - January Makamba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diamond alitusaidia kuibadili kauli mbiu wakati wa kampeni - January Makamba
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano, January Makamba amesema kuwa msanii Diamond Platnumz alisaidia kupatikana kwa kauli mbiu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2015.

Amebainisha hayo kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 kinachoruka Clouds TV ambapo ameeleza kuwa Diamond alibadilisha kutoka Hapa Ni Kazi Tu hadi kuwa Hapa Kazi Tu.

"Msanii Diamond Platnumz alitusaidia kuibadili kauli mbiu wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015 kutoka Hapa Ni Kazi Tu, na kuwa Hapa Kazi Tu," amesema.

Ameendelea kwa kueleza, 'Alipoiona tu mezani alisema, mtaani hatusema Hapa Ni Kazi Tu, bali tunasema Hapa Kazi Tu,'.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad