AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amebainisha hayo kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 kinachoruka Clouds TV ambapo ameeleza kuwa Diamond alibadilisha kutoka Hapa Ni Kazi Tu hadi kuwa Hapa Kazi Tu.
"Msanii Diamond Platnumz alitusaidia kuibadili kauli mbiu wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015 kutoka Hapa Ni Kazi Tu, na kuwa Hapa Kazi Tu," amesema.
Ameendelea kwa kueleza, 'Alipoiona tu mezani alisema, mtaani hatusema Hapa Ni Kazi Tu, bali tunasema Hapa Kazi Tu,'.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK