Harmonize adaiwa kuchepuka na Mdada wa Kimasai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harmonize adaiwa kuchepua na Mdada wa Kimasai
Msanii Harmonize anadaiwa kuchepuka na mwanadada kutok nchini  Kenya huku bado akiendelea kuwa na mahusiano na  mchumba wake wa siku nyingi mwanadada Sarah.

Katika mitandao ya kijamii kumekuwa na baadhi ya screenshot za meseji zikiwaonyesha sarah wa harmonize  na huyo mwaname mwingine ambae anaripotiwa kuwa ndio mchepuko mpya wa harmonize wakiwa  wanagombana .


Hata hivyo, kuna picha zimekuwa zikisambaa ambapo msanii Harmonize mwenyewe aliweka katika ukurasa wae wa snapcaht akiwa chumbani  huku akiandika Caption ya jina la mwanadada huyo.

Sarah anaonekana kujua swala hio lakini kutokana na mapenziyae kwaharmonize anashindwa kufanya maamuzi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad