AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lakini baadae harusi hiyo ilikuwa kusogezwa mbele na haikusemwa ni lini harusi hiyo inaweza kufanyika tena.
Sasa basi Mwijaku kwa mara nyingine ameongea tena na kusema kuwa msanii huyo kwa sasa hawezi kuoa kwa sababu anavyomuona anaona kabisa kuwa muda wake bado.
Mwijaku anasema kuwa kwa Diamond kuoa ni miaka mitano kutoka sasa lakini hata kuanza kuwa sereious na jambo hilo ni miaka mitatu mbele lakini sio leo wala kesho,
Mwiaku anasema “Mimi nilisema yule hawezi kuoa hivi karibuni na ni kweli, mkitaka Diamond aoe ni lazima kumpa Miaka mitano kutoka sasa, mitatu ya kufanya amaamuzi ya kuwa serious lakini kwa sasa hawezi kuoa.”
Mwijaku alisema kuwa Diamond ataoa lakini sio Tanasha kwa sababu Tanasha hana sifa za kuwa mke.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK