Haji Manara amvaa vikali msemaji wa Yanga SC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa Simba SC, Haji Manara ameonyesha kuchukizwa vikali na tuhuma zilizotolewa na
msemaji wa Yanga SC, Dismas Ten kuwa Simba ilitumia mbinu chafu kuifunga Aly Ahly kutoka
Misri.

Hapo jana Msemaji wa Yanga SC, Disma Ten aliandika kwenye mtandao; 'Wasijifiche kwenye
kisingizio cha kumfunga Mwarabu, tabia yao ya kupuliza dawa vyumbani imeshajulikana,
hawatusumbui na safariii hawatoki'

Sasa Haji Manara ameeleza kuwa mara baada ya mchezo wao wa hapo kesho, Dismas Ten
athibitishe tuhumpohizo kwani zinaichafua klabu yao yenye wanachama na wapenzi wengi.

"Kuna haja na hoja ya huyu mtu kuthibitisha beyond reasonable doubt (pasina shaka) kuwa Simba inafanya mambo hayo,tena uthibitisho huu uwe katika vyombo vya kisheria. Tunaukubali utani ila sio tuhuma za kutuchafua," amesema.

Haji Manara ameendelea kwa kusema, 'Hatutakubali kuchafuliwa kihuni huni na watu wasiojua maadili,miiko na kanuni za football. Tunamalizana nao kesho na baada ya hapo tutahitaji athibitishe hizo tuhuma," ameeleza'.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad