AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kulingana na mshauri wa uongozi wa Libya unaotambulika kimataifa Muhammed es Sallak, shambulizi hilo la anga limelenga kambi za magaidi wa al Qaida Ubari Kusini mwa Libya.
Mshambulizi kama hayo yamewahi kuendeshwa na jeshi la Marekani dhidi ya ngome za wangambo wa Daesh nchini Libya.
Ifahamike kuwa miaka minane inakaribia tangu kupinduliwa na kuuawa kwa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi na kuvamiwa na jeshi la Magharibi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK