Mambo ni Moto! Linah na Amini Waonekana Pamoja Ndani Ya Mahaba Mazito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mambo ni Moto! Linah na Amini Waonekana Pamoja Ndani Ya Mahaba Mazito
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Linah Sanga na msanii mwenzake Amini wote waliokuwa chini ya THT wameibua Tetesi Za kurudiana Baada ya kuposti picha wakiwa pamoja.

Linah na Amini waliwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi miaka ya nyuma Lakini walikuja kuachana na Linah alikuwa na mwanaume mwingine ambaye amezaa naye Mtoto mmoja.

Wiki chache zilizopita Linah aliweka wazi kuwa yeye na baba Watoto Wake hawapo pamoja ingawa hakutaja sababu ya kuachana kwao na mara moja tetesi zilianza kusambaa kuwa Linah na Amini wamerudiana.

Tetesi hizo zimepamba moto siku ya jana (siku ya wapendanao) Baada ya kupostiana wakiwa wameshikana viuno na kukaa katika mkao wa kihasara.

Wawili hao walikuwa mkoa wa Iringa walipokuwa wanafanya shoo na kila mmoja aliposti licha ya mwenzake katika ukurasa wake wa Instagram na kuandika maneno haya:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad