AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga kupitia Radio Magic FM, Dismas Ten, amesema Ninja atacheza kama endapo Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera atampendekeza na akikanusha kupewa adhabu yoyote na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Awali kulizuka taarifa kuwa TFF kupitia Bodi ya Ligi wamemfungia Ninja michezo mitatu kwa kitendo cha kumchezea rafu mbaya mchezaji wa Coastal Union katika mechi ambayo ilimalizika kwa timu hizo kwenda sare ya mabao 1-1 huko Mkwakwani, Tanga.
"Hakuna barua rasmi inayoeleza kuwa Ninja amepewa adhabu ya kifungo cha mechi 3, hivyo Ninja mpaka sasa atahusika katika mechi ijayo dhidi ya Simba endapo Mwalimu ataamua atumike" alisema.
Yanga itakuwa mwenyeji Februari 16 Jumamosi ya wiki hii katika dimba la Taifa ambapo itakuwa inawaalika watani zao wa jadi Simba kusaka alama tatu muhimu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK