AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashabiki waliomuona kwenye moja ya Shughuli Hivi karibuni wamesema kwamba amebadilika katika suala zima la mavazi tofauti na zamani ambapo alikuwa akijiachia nusu utupu akiwa kwenye matamasha.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Faiza amefunguka na kusema kuwa aliamua kuvaa vazi la heshima kwani hakutaka kuongelewa sana kwani amekuwa mtu wa kuongelewa kwenye kila red carpet event.
Faiza ameshawahi kuzua gumzo siku za nyuma Baada ya kuvaa nguo iliyokuwa inaacha makalio yake wazi kutokana na kuchanwa chanwa Lakini pia Faiza ameshawahi kuvaa shati la kiume tu na tai.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK