Rais Museveni Kiboko Ampandisha Cheo Tena Mwanaye Jeshini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Museveni ampandisha cheo tena mwanaye Jeshini
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mwanaye, Muhoozi Kainerugaba ambaye ni mmoja ya maafisa waandamizi wa Jeshi.

Amepanda kutoka cheo cha Meja Jenerali hadi Luteni Jenerali ambacho ni cheo cha tatu kwa ukubwa kwenye jeshi la nchi hiyo baada ya Jenerali & Field Marshal.

Utakumbuka May 2016 ndipo Rais Museveni alimpandisha cheo mwanaye huyo na kufikia ngazi ya Meja Jenerali ambaye anatambulika kama mtu mwenye nguvu sana katika jeshi la nchi hiyo.

Wengi wanaamini kuwa anatengenezwa kwa ajili ya kumrithi baba yake kitu ambacho wamekuwa wakikipinga vikali.Hata hivyo kwa upande mwingine, Muhoozi amewahi kuweka wazi malengo yake ya kuwa mwanasiasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad