Afisa Habari wa Jeshi la Magereza Lucas Mboje Akanusha taarifa za kifo cha mahabusu James Rugemarila, anayetuhumiwa kwa shitaka la kuhujumu uchumi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Afisa Habari wa Jeshi la Magereza Lucas Mboje Akanusha taarifa za kifo cha mahabusu James Rugemarila, anayetuhumiwa kwa shitaka la kuhujumu uchumi
 

Jeshi la Magereza nchini limekanusha taarifa za kifo cha mahabusu, James Rugemarila mwenye mashitaka ya uhujumu uchumi, na kusema kwamba yuko salama kabisa.

Afisa Habari wa Magereza, Lucas Mboje, amesema kwamba taarifa za kifo chake ni za uzushi, na kwamba Rugemarila yuko mzima.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad