Aunt Ezekiel; Maisha Yamekua Magumu Sana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa mastaa wengi akiwemo yeye, wameanza kusahaulika kwenye jamii kutokana na kuhangaika na maisha na kusahau burudani kama ilivyokuwa zamani.


Akiteta mbele ya kizimba cha MIKITO, Aunt alisema kasi ya maisha ya sasa inafanya kila mtu apambane na hali yake na kupunguza baadhi ya mambo waliyoyazoea.


“Hatuonekani mara kwa mara, wala kusikika siku hizi kwa sababu maisha yamekuwa magumu, ni lazima kujituma zaidi na sio kujionesha au kuubeba umaarufu tu huku maisha yako yanateketea,” alisema Aunt.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad