AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiteta mbele ya kizimba cha MIKITO, Aunt alisema kasi ya maisha ya sasa inafanya kila mtu apambane na hali yake na kupunguza baadhi ya mambo waliyoyazoea.
“Hatuonekani mara kwa mara, wala kusikika siku hizi kwa sababu maisha yamekuwa magumu, ni lazima kujituma zaidi na sio kujionesha au kuubeba umaarufu tu huku maisha yako yanateketea,” alisema Aunt.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK