AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo limetokea hivi karibuni ambapo Prince alikuwa na ziara ya siku 12 katika Visiwa vya Caribbean.
Wakati akiongea mbele ya wananchi, alisema Rihanna hamfahamu kabisa zaidi ya kuelezwa na mwanaye (Prince Harry) kabla ya kufika hapo.
“Simjui vizuri ila niliambiwa na mwanangu kuwa Rihanna amekuwa akifanya vizuri kwenye muziki na ni nembo ya urembo duniani na kwa nchi hii…lakini pia atanieleza tena zaidi nimjue.”
Prince Harry na Rihanna walikutana mara ya kwanza 2016 alipotembelea katika visiwa hivyo katika kampeni maalum ya HIV/aids.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mbona niykawaida pia umri ni tofauti
ReplyDelete