Mtoto wa Malkia Hamjui Rihanna

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtoto wa Malkia Hamjui Rihanna
WAKATI Rihanna akisumbua katika gemu la R&B na POP huku akishikilia tuzo 33 za Grammy, mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza, Prince Charles ameibuka na kusema kuwa hamfahamu.


Tukio hilo limetokea hivi karibuni ambapo Prince alikuwa na ziara ya siku 12 katika Visiwa vya Caribbean.

Wakati akiongea mbele ya wananchi, alisema Rihanna hamfahamu kabisa zaidi ya kuelezwa na mwanaye (Prince Harry) kabla ya kufika hapo.


“Simjui vizuri ila niliambiwa na mwanangu kuwa Rihanna amekuwa akifanya vizuri kwenye muziki na ni nembo ya urembo duniani na kwa nchi hii…lakini pia atanieleza tena zaidi nimjue.”

Prince Harry na Rihanna walikutana mara ya kwanza 2016 alipotembelea katika visiwa hivyo katika kampeni maalum ya HIV/aids.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mbona niykawaida pia umri ni tofauti

    ReplyDelete

Top Post Ad