Esma Hataki Kusikia Habari za Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Esma Hataki Kusikia Habari za Ndoa

DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan amefunguka hataki kusikia tena kitu kinachoitwa ndoa kwa sababu mara nyingi mtu unaweza kupoteza muda wako kuitengeneza ndoa na kuilinda kumbe mwenzako hana mpango.



Esma aliliambia Gazeti la Ijumaa kuwa, kuwa kwa sasa hawezi kukimbilia tena kwenye ndoa kwani katika ndoa yake ya awali hakuna alichokivuna hivyo bora ajikite kwenye kusaka pesa.



“Kwa lugha nyepesi, sitaki kusikia wala sihitaji tena ndoa. Hata mtu akija akasema anataka kunioa, nitajua ni walewale tu kwani mapenzi ya dhati siku hizi hakuna,” alisema Esma aliyewahi kuolewa na meneja wa wasanii wa Bongo Fleva, Petit Man kisha ndoa yao kuvunjika.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad