Je, Polisi Anaweza Kukushikilia Mafichoni na Kukuhoji Bila Kukupa Nafasi ya Kuwa na Mwanasheria?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hapana. Jeshi la Polisi likikushikilia mafichoni ni kinyume cha sheria. Askari Polisi wanapokuweka rumande ni jukumu lao kuangalia afya yako na kuzilinda haki zako

Iwapo utapata madhara yoyote au haki zako hazitaheshimiwa na zikavunjwa kwa namna yoyote ile Jeshi la Polisi litawajibika

Askari Polisi wana wajibu wa kuandika taarifa za watu wote wanaofika kituoni kwenye kitabu chao cha kumbukumbu za kila siku. Kitaonesha muda ulioletwa hapo kituoni kwa mahojiano na wakati gani ulikamatwa

Kumbuka kuwa unayo haki ya kuwa na mwanasheria wako wakati wa kuhojiwa.

Hivyo, sehemu ya mahabusu lazima ijulikane na iweze kufikiwa na mwanasheria wako, marafiki, familia au jamaa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad