AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni nyota wa miondoko ya R&B R Kelly alionyesha masikitiko yake dhidi ya shutuma za unyanyasaji wa kingono zinazomkabili, katika kipindi kimoja cha asubuhi cha televisheni.
Ikiwa ni mara ya kwanza mwanamuziki huyo kuhojiwa tangu akamatwe na polisi mwezi uliopita alisema,"Sijafanya vitu hivyo, huyo sio mimi " na kusisitiza kuwa anapambania maisha yake.
Mwendesha mashitaka wa Chicago alimfungulia Kelly mashtaka 10 yanayohusiana na makosa ya unyanyasaji wa kingono, huku yakihusisha waathirika wanne ambao watatu kati hao walifanyiwa unyanyasaji wakiwa na umri chini ya miaka 18 .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK