Hi Hapa Ratiba ya Mazishi ya Kibonde Mwili Wake Kuwasili Leo Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hi Hapa Ratiba ya Mazishi ya Kibonde Mwili Wake Kuwasili Leo Dar
Mkurugenzi wa Clouds Media Group Ndugu Joseph kusaga ametoa ratiba ya mazishi ya mtangazaji wa Clouds FM Ephraim Kibonde aliyefariki alfajiri ya kuamkia leo jijini Mwanza.

Kusaga amesema kuwa mwili wa marehemu utawasili na kupokelewa leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere saa nne usiku na baada ya hapo utapelekwa katika hospitali ya Jeshi Lugalo kwa ajili ya kupumzishwa.

Vilevile amesema amesema taratibu za mazishi na maombolezo zitafanyika nyumbani kwake Mbezi na siku ya jumamosi ataagwa rasmi na kuzikwa.

 Mtangazaji huyo amefariki leo akiwa Mwanza, baada ya kusumbuliwa na Presha toka Bukoba kwenye msiba wa Ruge Mutahaba na kuhamishiwa Mwanza. Kifo cha mtangazaji huyo kinakuja siku chache baada kufariki Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media,Ruge Mutahaba.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad