Rais Magufuli "Mabalozi Mkiona Tatizo Msiandike Tena Mitandaoni, Nendeni kwa Waziri"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Raisi Magufuli amewaasa mabalozi kuacha kuandika mitandaoni kama kuna tatizo badala yake wamwone Waziri wa Mambo ya nje.

Raisi Magufuli ametoa wito huo jana wakati akiwahutubia mabalozi hao Ikulu jijini Dar...

Ameongeza kuwa mabadiliko ya baraza mawaziri hivi karibuni ni sehemu ya kuimarisha uhusiano kati ya nchi na Wadau wa maendeleo nchini !

VIDEO:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad