This is Simba brother

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hongera Simba Sport club, kwa kupata ushindi muhimu dhidi ya As Vita, katika uwanja wa nyumbani jijin Dar es salaam, na kwenda hatua ya robo fainali kwenye michuano ya klabu Bingwa Barani Afrika.

Simba, leo ulionekana kuwa bora katika idara ya kiungo mkabaji Kotei, na Mzamiru , wamefanya viungo wa klabu ya As Vita, kucheza chini zaidi kwa maana ya kujilinda Kotei,alitumika ni wa kati kwa maana ya kuwalinda mabeki wake pale wanapokuwa hawana mpira na kuziba mianya nyote ya kupitisha mpira.

Katika idara ya kiungo mkabaji leo Mzamiru muda mwingi alikuwa akitokea pembeni kwa maana ya kujaribu kuwapunguza kasi Vita ,ambao wamekuwa wazuri tukio pembeni muda mwingi Vita,walikuwa wakicheza kwa kujilinda.

Simba, katika idara ya kiungo mshambuliaji kumekuwa na matatizo bado Chama, muda mwingi amekuwa akishindwa kuendesha timu na na kufikisha mpira mbele kwa muda muwafaka hili ndo lilikuwa likiwasumbua Simba, kwenye mchezo wa leo.

Mwalimu Patrick Aussems,aliamini kuwa kipindi cha pili hana cha kupoteza alimtoa Emannuel Okwi,na kumuingiza Niyonzima Haruna, kwa nini ?alifanya hivo alihitaj kiungo mshambuliaji wenye spidi na uwezo wa kupelekea mpira unapocheza na timu yenye uwezo mkubwa katika idara hiyo kiungo unahitaji uwe na viungo wenye uwezo wa kushambulia kwa haraka na kutengeneza nafasi.

Sina maana Chama, hajui mpira hapana?ila mchezo wa leo ameshindwa kuendana na kasi ya mchezo huu.

Patrick Aussems,alivowatoa viungo wote wakabaji ? na kuingiza wachezaji washambuliaji kwenye kuongoza nguvu? kwa maana mda ulikuwa ushaisha na alihitaji matokeo.

Kwa nini?alipunguza viungo wakabaji kwa maana aliona kwa dakika hizi Vita wamejitoa na kuja kushambulia kwa kasi muda mwingine mwalimu unahitaji ujitoe na kufanya maamuzi binafsi.

Azizi Mtambo 15
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad