Vanessa Mdee na Jux Wapewa Mapokezi ya Kifalme Burundi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vanessa Mdee na Jux Wapokelewa Kifalme Burundi
MASTAA wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee na Juma Musa ‘Jux’ wameitikisa Burundi ambapo mapokezi yao tu yalikuwa ya kifalme.



Tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo wakazi wa Bujumbura walijitokeza Uwanja wa Ndege Bujumbura wakiwa na mabango yenye jumbe mbalimbali zinazoonesha ni jinsi gani wanawakubali wasanii hao.



Licha ya mabango hayo, Vanessa na Jux walipokelewa na msafara mkubwa wa magari pamoja na mashabiki kibao ambapo baada ya hapo waliwakonga nyoyo kwa shoo kali iliyofanyika katika Fukwe za Lacosta.



Vanessa na Jux wako kwenye mwendelezo wa ziara yao ya In Love and Money wanayoifanya ndani na nje ya Tanzania. Akiwa nchini humo Vanessa alisema ni mara ya kwanza kufika Burundi na ameshangazwa na mapokezi makubwa ambayo hakuwahi kuyafikiria.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad