AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Msiba huu ni pigo kubwa kwetu wanatasnia wa habari nchini, tupo pamoja na wenzetu wa Clouds Media Group katika kipindi hiki kigumu cha majonzi” amesema Dkt. Mwakyembe.
Enzi za uhai wake Marehemu Kibonde alikuwa Mtangazaji wa Redio ya Clouds Fm katika kipindi cha Jahazi, pia alijihusisha na shughuli ambalimbali za kijamii zikiwemo uandaaji wa vipindi vya kuelimisha Umma katika masuala ya Makazi na Afya.
Dkt. Mwakyembe ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, uongozi na wafanyakazi wote wa Clouds Media Group pamoja na wadau wa habari nchini.
Imetolewa na
Lorietha Laurence
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
08/03/2019
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK