AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Usiku wa kuamkia leo bondia huyo akiyenza kuwa maarufu zaidi nchini ameshinda pambano lake dhidi Sergio Gonzalez raia wa Argentina.
"Pongezi nyingi kwa Bondia Mtanzania Mwakinyo kwa ushindi wako. Umetupa faraja na furaha Watanzania. Mungu akupe Neema zaidi na uwapige zaidi," amesema Zitto.
Mwakinyo amemchapa Gonzalez kwa TKO katika raundi ya tano ya pambano hilo lililofanyika jijini Nairobi Nchini Kenya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK