Zitto Kabwe Ampongeza Bondia Mwakinyo kwa Ushindi Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zitto Kabwe Ampongeza Bondia Mwakinyo kwa Ushindi Wake

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amepongeza Bondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo kwa ushindi alioupata jana.

Usiku wa kuamkia leo bondia huyo akiyenza kuwa maarufu zaidi nchini ameshinda pambano lake dhidi Sergio Gonzalez raia wa Argentina.

"Pongezi nyingi kwa Bondia Mtanzania Mwakinyo kwa ushindi wako. Umetupa faraja na furaha Watanzania. Mungu akupe Neema zaidi na uwapige zaidi," amesema Zitto.

Mwakinyo amemchapa Gonzalez kwa TKO katika raundi ya tano ya pambano hilo lililofanyika jijini Nairobi Nchini Kenya.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad