AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hiyo ni kwa mujibu wa ujumbe aliochapisha kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram hii leo, mrembo huyo ameandika;
"Yani jamani kichwa kinaniuma, jana tu nilikua kwenye relationship leo nipo single. Nahisi kama nimepigwa na radi hivi, sasa jamani jezi za kesho (leo) za kwenda kuangalia Taifa Stars navaa na nani, na vile vitenge nilivyoshona Sare," ameeleza Hamisa Mobetto.
Kwa sasa Hamisa Mobetto anafanya vizuri na wimbo wake unaokwenda kwa jina la Sawa ukiwa ni wimbo wake wa tatu kutoa baada ya Madam Hero na Tunaendana.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK