AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiba tangu asajiliwe Coastal Union, amefanikiwa kucheza mechi mbili dhidi ya Kagera Sugar, KMC kwa dakika chache na amekuwa akihudhuria mazoezi na kambi ingawa siyo mara zote.
Nyota huyo kwa sasa yupo bize na majukumu yake ya kimuziki ndani na nje ya nchi, hivyo amekuwa nje kwa muda ndani ya timu ingawa ni sehemu ya makubaliano naye.
Kocha Mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda amesema ni muda mrefu Alikiba hajaonekana katika timu kutokana na majukumu mengine aliyokuwa nayo na mpaka sasa hawajui atajiunga na wenzake lini.
“Sijui ataungana na wenzake lini kwa sababu hayupo hapa kwa muda mrefu akiwa na majukumu mengine kama mnavyofahamu kazi yake. “Pengine anaweza asionekane hadi msimu huu unamalizika,” alisema Mgunda. Alikiba aliyejiunga na timu hiyo msimu huu, mpaka sasa amefanikiwa kucheza mechi mbili za Ligi Kuu Bara.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK