AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Showbiz Xtra, Esma alisema kwa sasa kaka yake yuko bize na ziara na ndiyo maana mara nyingi haonekani na mpenzi wake huyo lakini wako vizuri na mpango wa ndoa uko palepale.
“Sasa yule si ndiyo wifi wa kaka yangu jamani hakuna wa kubadilisha hilo na ndoa ipo kama kawaida tujipange tu kusherehekea na vigoma vya Kigoma,” alisema Esma huku akicheka.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK