Esma: Diamond,tanasha Ndoa Ipo Kama Kawaida

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Esma: Diamond,tanasha Ndoa Ipo Kama Kawaida
DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Esma Khan amefunguka kuwa watu wanao-fikiria ndoa ya kaka yake huyo na mpenzi wake mpya, Tanasha haipo wamechemsha.

Akizungumza na Showbiz Xtra, Esma alisema kwa sasa kaka yake yuko bize na ziara na ndiyo maana mara nyingi haonekani na mpenzi wake huyo lakini wako vizuri na mpango wa ndoa uko palepale.

“Sasa yule si ndiyo wifi wa kaka yangu jamani hakuna wa kubadilisha hilo na ndoa ipo kama kawaida tujipange tu kusherehekea na vigoma vya Kigoma,” alisema Esma huku akicheka.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad