Godzilla kurudi kwa kishindo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tasnia ya burudani nchini Tanzania inatarajia kusikia tena muziki mpya wa nguli wa Hip Hop na 'freestyle' aliyeaga dunia hivi karibuni, Golden Jacob (Godzilla).


Kwenye acount yake ambayo inaendeshwa na mmoja wa wana familia, ametoa taarifa kuwa Godzilla aliacha nyimbo zaidi ya mia moja (100) studio, ambazo wataanza kuziachia hivi karibuni.

Taarifa iliyotolewa na acount ya Godzilla



Godzilla alifariki dunia Februari 13 mwaka huu, baada ya kufariki ghafla, na kuleta simanzi kubwa kwenye tasnia ya burudani nchini Tanzania na Afrika Mashariki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad