AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tasnia ya burudani nchini Tanzania inatarajia kusikia tena muziki mpya wa nguli wa Hip Hop na 'freestyle' aliyeaga dunia hivi karibuni, Golden Jacob (Godzilla).
Kwenye acount yake ambayo inaendeshwa na mmoja wa wana familia, ametoa taarifa kuwa Godzilla aliacha nyimbo zaidi ya mia moja (100) studio, ambazo wataanza kuziachia hivi karibuni.
Taarifa iliyotolewa na acount ya Godzilla
Soon he will be back with A lot of stuff..... He had more than 100+ tracks in stock... why not?? #KingLives— GOLDEN JACOB (@King_Zillah) 16 April 2019
Godzilla alifariki dunia Februari 13 mwaka huu, baada ya kufariki ghafla, na kuleta simanzi kubwa kwenye tasnia ya burudani nchini Tanzania na Afrika Mashariki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK