AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda msanii huyo alisema kuwa, alikuwa hapendi kabisa hayo mambo ya wageni kwenda nyumbani kwao wakati wa chakula, kwa kuhofia kuwa watamaliza chakula chao, hali iliyopelekea kupigwa na mama yake kila siku kwa ajili ya tabia yake hiyo mbaya.
“Nakumbuka enzi za utoto wangu nilikuwa sipendi wageni kabisa hasa linapokuja suala la kula, yaani nilikuwa naona kama wakija watatumalizia chakula, hivyo hali hiyo mama yangu alikuwa haipendi, alikuwa ananipiga kila siku, nikikumbuka acha tu kwani nimechapwa sana, hata hivyo sasa nashukuru Mungu hiyo tabia ilikuja kuisha,” alisema Shamsa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK