Kajala Amkumbusha Lulu ya Segerea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja baada ya kumtakia heri ya kuzaliwa muigizaji mwenziye Elizabeth Michael ‘Lulu’ alimkumbushia mambo ya gerezani Segerea kipindi walipokuwa na misala.



Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Kajala alisema sababu ya kumkumbushia mambo ya Segerea ni kutokana na furaha aliyokuwa nayo kwani alikumbuka msoto waliopitia pamoja walipokuwa huko.



“Nilimkumbusha Lulu kuhusu vibarua tulivyokuwa tukifundishana jinsi ya kuviandika tulivyokuwa mle ndani, nilifurahi maana kumbukumbu nyingine zinaweza kukufanya ukacheka au ukalia kabisa, watu tumepitia magumu na tumetoka mbali,” alisema Kajala.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad