AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Kajala alisema sababu ya kumkumbushia mambo ya Segerea ni kutokana na furaha aliyokuwa nayo kwani alikumbuka msoto waliopitia pamoja walipokuwa huko.
“Nilimkumbusha Lulu kuhusu vibarua tulivyokuwa tukifundishana jinsi ya kuviandika tulivyokuwa mle ndani, nilifurahi maana kumbukumbu nyingine zinaweza kukufanya ukacheka au ukalia kabisa, watu tumepitia magumu na tumetoka mbali,” alisema Kajala.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK