AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, amesema watu hao wanaosadikiwa kuwa ni majambazi pamoja na wenzao waliokimbia baada ya mapambano makali na polisi waliofika hapo, wanaendelea kusakwa na watafikishwa katika vyombo vya sheria.
Aidha, Mambosasa ametoa onyo kwa wale wote wanaokusudia kuvuruga biashara katika eneo la Kariakoo ambalo ni kitovu cha biashara nchini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK