Kajala Afichua Siri Safari Zake Za Dubai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kajala Afichua Siri Safari Zake Za Dubai
DAR ES SALAAM: STAA ‘grade one’ kwenye filamu Bongo, Kajala Masanja amefichua siri ya safari zake Dubai kwa kusema kikubwa kinachomfanya aende kila baada ya mwezi si starehe bali ni sehemu ya kazi.

Akizungumza na Showbiz Xtra, Kajala alisema kuwa watu wengi wanajiuliza sana anapata wapi hela za kutanua na kwenda huko kula bata lakini ukweli ni kwamba hiyo ni moja ya kazi yake anayofanya.

“Unajua mwingine anaweza kusema nakula bata tu lakini kula bata huko nimechagua kufanya kazi za kibalozi kwa nguvu huku uigizaji nikifanya kama kitu tu ninachokipenda na siyo cha kutegemea ndiyo maana watu wengi wanajiuliza. Pia siyo Dubai tu huwa naenda nchi nyingi tofauti,” alisema Kajala.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad