AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Showbiz Xtra, Kajala alisema kuwa watu wengi wanajiuliza sana anapata wapi hela za kutanua na kwenda huko kula bata lakini ukweli ni kwamba hiyo ni moja ya kazi yake anayofanya.
“Unajua mwingine anaweza kusema nakula bata tu lakini kula bata huko nimechagua kufanya kazi za kibalozi kwa nguvu huku uigizaji nikifanya kama kitu tu ninachokipenda na siyo cha kutegemea ndiyo maana watu wengi wanajiuliza. Pia siyo Dubai tu huwa naenda nchi nyingi tofauti,” alisema Kajala.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK