Kampuni Boeing Imesitisha Uzalishaji wa Ndege Zake Aina ya 737 MAX

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kampuni Boeing Imesitisha Uzalishaji wa Ndege Zake Aina ya 737 MAX
Kampuni Boeing imesitisha uzalishaji wa ndege zake aina ya 737 MAX baada ya ajali mfululizo zilizoikumba aina hiyo ya ndege, ikihusisha ndege ya shirika la ndege la Ethiopia na ile ya Indonesia ambazo zote ziliua idadi kubwa ya watu.

 Boeing wamesema wanafanyia kazi Software ambayo itaondoa kabisa tatizo hilo.

Itakumbukwa kuwa Ndege ya shirika la ndege la Ethiopia ilipata ajali wakati ikitokea mji wa Adis Ababa kuelekea Kenya na watu wote 157 waliokuwa kwenye ndege hiyo walipoteza maisha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad