AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana, mbunge wa kuteuliwa na Rais, Abdallah Bulembo aliishauri Serikali kuruhusu watu kusafirisha mchanga huo badala ya kuendelea kuwazuia.
Bulembo alisema kuwazuia kusafirisha nje kunasababisha Serikali ikose mapato na pia kuathiri wachimbaji ambao hawana madoa.
Wakati Bulembo akiibuka na makinikia, mbunge wa Baraza la Wawakilishi (BLW), Jaku Hashim Ayub aliitaka Serikali kuweka masharti yenye uwiano katika biashara ya maduka ya kubadilisha fedha za kigeni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK