AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mazungumzo na paparazi wetu, Lulu alisema mbaya wake huyo anayemchafua haelewi lengo lake, lakini kamwe asingeweza kumtelekeza mtoto wake wa kumzaa.
“Jamani huyo aliyesambaza habari hajui ni kiasi gani ananitesa, hili suala limeniathiri sana. Imefikia mahali sasa wachumba wananikimbia. “Yaani ukipata mwanaume, akisikia tu ulitupaga mtoto huko kijijini, anakula kona ila walimwengu wana shida nyingi sana. Hawapendi maendeleo ya wenzao,” alisema Lulu Diva.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK