Lulu Diva Achomoa Kuzaa, Kutelekeza Mtoto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lulu Diva Achomoa Kuzaa, Kutelekeza Mtoto
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa madai ya kuzaa mtoto na kumtelekeza kijijini kwao ni ya uongo na kwamba wabaya wake wameamua kumchafua.

Katika mazungumzo na paparazi wetu, Lulu alisema mbaya wake huyo anayemchafua haelewi lengo lake, lakini kamwe asingeweza kumtelekeza mtoto wake wa kumzaa.

“Jamani huyo aliyesambaza habari hajui ni kiasi gani ananitesa, hili suala limeniathiri sana. Imefikia mahali sasa wachumba wananikimbia. “Yaani ukipata mwanaume, akisikia tu ulitupaga mtoto huko kijijini, anakula kona ila walimwengu wana shida nyingi sana. Hawapendi maendeleo ya wenzao,” alisema Lulu Diva.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad