AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Amani, Lulu Diva alisema hadi mwanaume anaamua kutembea na mwanamke mwingine nje, ujue kuna shida mhusika atakuwa nayo hivyo anapaswa ajichunguze na ajirekebishe.
“Ningekuwa mimi ningeona aibu sana kutangaza mume wangu amechukuliwa na mwanamke mwingine, kwa nini aondoke kwako aje kwangu? Lazima utakuwa na tatizo,” alisema Lulu Diva.
Hivi karibuni mitandaoni kulichafuka kwa habari kuwa mwanamuziki huyo anatembea na mume wa dada’ke huyo, mtoto wa mama yake mkubwa. Jitihada za Amani kumpata dada mtu hazikuzaa matunda hivyo zinaendelea!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK