Ninavyo Vaa Nguo Ndefu Sio Kama Nina Miguu Chelewa - Wolper

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sina Miguu Chelewa - Wolper
STAA wa sinema za Kibongo ambaye kwa sasa amejikita kwenye mitindo ya mavazi, Jacqueline Wolper Massawe ameweka wazi kuwa siyo kwamba anavyovaa nguo ndefu ni kutokana na kukosa shepu au mguu bali anapenda tu.

Wolper alisema kuna wakati mwingine anaamua tu kujitafutia staili yake ya mavazi na ndiyo maana yeye mara nyingi anavaa nguo ndefu.

“Sina miguu chelewa na shepu ninayo pia siyo kwamba ninavyovaa nguo ndefu basi miguu yangu ni chelewa, hapana, niko vizuri sana,” alisema Wolper.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad