AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bale anaweza kujiunga na Manchester United kwa mkataba wa deni ambapo anaweza kulipwa £5m. (Marca, via Mirror)
City kuvunja benki ili kumsajili Rodri
Manchester City wako tayari kuvunja rekodi ya uhamisho ya £60m ili kumsaini mkataba na Rodri ambaye yuko katika fomu nzuri hici sasa.
Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Spain anayekipiga Atletico Madrid anayeweza kujaza nafasi ya Mbrazili Fernandinho, mwenye umri wa miaka 33. (Telegraph)
Tottenham yafyngua milango kwa Trippier
Tottenham wamejiandaa kumuuza mchezaji Kieran Trippier msimu ujao huku Manchester United na Napoli wakimtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28. (Sun)
Emery kuongeza mkataba Arsenal
Unai Emery aliyechukua nafasi ya Arsenal Wenger anatajwa kuasaini mkataba mwingine na Arsenal msimu huu . (mail)
Barcelona kumtoa kwa mkopo Vidal
Barcelona wanatarajia kumtoa mchezaji wao wa kimataifa kutoka Chile Arturo Vidal. (Sport)
Man United yatoa ombi kwa Bayern Munich.
Manchester United wametoa ombi la euro milioni 60 (£51.9m) kwa Bayern Munich wakiomba wasaini mkataba na Niklas Sule mwenye miaka 23 kwa msimu unaokuja . (Sport 1, via Teamtalk)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK