AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ronaldo anaweka rekodi ya kuwa mchezaji cwa kwanza kihistoria kushinda ubingwa wa Serie A, Premier (England) na La Liga (Hispania).
Juzi Ronaldo alitwaa ubingwa huo baada ya timu yake kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Fiorentina.
“Nipo hapa na naamini kuwa nitaendelea kuwa hapa, naamini kuwa msimu ujao nitakuwa hapa kwa asilimia 1000, hapa ni sehemu muhimu kwangu na nimepata mafanikio makubwa sana hapa,” alisema Ronaldo baada ya mchezo huo.
Huu ni ubingwa wa nane mfululizo kwa Juventus kwenye Serie A na ukiwa ni wa 35 kwa jumla.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK