Mbunge Ahoji Tulia Kuongozana na Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Iringa Mjini, Mch. Peter Msiwa (CHADEMA) amehoji ni kwa nini Naibu Spika Tulia Ackson ameondoka bungeni na kwenda kujiunga kwenye ziara ya Rais Magufuli inayoendelea huko Mbeya.



Mch. Msigwa amehoji hayo leo ikiwa ni siku ya tano ya ziara ya Rais Magufuli ndani ya Jiji la Mbeya ambapo awali ilielezwa kuwa itakuwa ziara ya siku nane ya kikazi.

"Ameacha Bunge linaendelea, yeye ni mhimili mwingine anafuata fuata nini huko kwenye mhimili wa serikali"?, amehoji Msigwa.

Katika kukazia hoja yake, Msigwa ameongeza kuwa, "yeye sio Mbunge wa mbeya, aliapa Kinondoni na alipiga kura huko".

Hata hivyo, harakati za Naibu Spika ndani ya Jiji la Mbeya zimekuwa zikihusishwa na kuwania kiti cha ubunge kwa jimbo la Mbeya Mjini kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad