AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa Elimu wa KwaZulu Natal, Muzi Mahlambi, amesema kwamba Mwalimu huyo alichokifanya sio kitendo cha ubinadamu na ni kosa kisheria, hivyo wamemsimamisha kazi kuanzia Jumatano April 17, huku wakiwaachia polisi kumchukulia hatua za kisheria zaidi.
“Kama kitengo tumeshtushwa na kitendo hiki ambacho sio cha kibinadamu, na huyu Mwalimu tumemsimamisha na tumemfungulia mashtaka. Tunatarajia walimu wetu kuwa wazazi kwa wanafunzi hawa, iwapo ukifanya hivi kwa mwanafunzi wa grade 3, atakuwa akiogopa shule, tunahitajika kumsaidia mtoto kisaikolojia”, amesema Mahlambi.
Naye msemaji wa polisi wa KwaZulu Natal, Colonel Thembeka Mbele amethibitisha kufunguliwa kwa kesi dhidi ya mwalimu huyo juu ya unyanyasaji wa mtoto.
Mwalimu huyo ambaye jina lake halijawekwa wazi, alimfungia darasani mwanafunzi wa 'grade 3' mwenye miaka 8 kwa usiku kucha, kuanzia saa 8 mchana baada ya muda wa masomo kuisha, kwa kosa la kutofanya kazi aliyopewa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK