Rais Magufuli Atoa Ajira kwa Vijana 2000 wa JKT

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais, John Magufuli ametoa ajira kwa vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) zaidi ya 2,000 walioshiriki ujenzi wa miradi mbalimbali ya Serikali.

Vijana hao ni walioshiriki kwenye ujenzi wa nyumba za Serikali, ukuta wa Ikulu ya Chamwino Dodoma, nyumba za magereza pamoja na wanaofanya kazi kwenye kiwanda cha kuchakata mahindi cha JKT Mlale.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mji wa kiserikali wa Ihumwa Dodoma leo, Rais  Rais Magufuli ameeleza kufurahishwa kwake na kazi kubwa iliyofanywa na vijana hao kwa muda mfupi na gharama nafuu na moyo wa kujitoa kwa ajili ya taifa lao.

Ameelekeza vijana hao waajiriwe katika maeneo mbalimbali ikiwamo jeshini, usalama wa taifa, Takukuru, uhamiaji na taasisi nyingine za Serikali.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad