AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 3,530 ambapo wafungwa 722 wataachiliwa huru siku ya leo April 26, 2019.
Taarifa iliyotolewa na Meja Jenerali Jacob G Kingu, imeeleza kwamba wafungwa 2808 watabaki gerezani kumalizia kifungo kilichobaki baada ya kupewa msamaha huo.
Wafungwa wengine waliobahatika msamaha huo ni pamoja na na wale wanaougua magonjwa kama Ukimwi, Kansa na Kifua kikuu ambapo watathibitishwa na Jopo la waganga chini ya uenyekiti wa Mganga Mkuu Mkoa au Wilaya.
Add caption |
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK