AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muda mfupi baada ya kuachia wimbo huo, Alikiba ameeleza siri nzito iliyopelekea kuachia wimbo huo hivi sasa.
Katika ukurasa wake wa Twitter, Alikiba amesema kuwa wimbo huo aliuandika takribani miaka 10 iliyopita aliposafiri kwa mara ya kwanza nchini Oman.
Alikiba
✔
@OfficialAliKiba
Allow me to introduce to you MBIO ngoma ambayo niliandika miaka 10 iliyopita nilipokwenda Oman 🇴🇲 kwa mara ya kwanza, miaka 10 baadae niliporudi Oman kwa ajili ya concert yangu kubwa at Intercontinental Hotel, I got inspired to finalise the song na kushoot Music Video in Muscat.
Mara ya mwisho kwa Alikiba kutoa wimbo wa peke yake ni takribani miezi minne iliyopita ambapo alitoa wimbo wa Kadogo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK